Msajili wa mahakama alisema kuwa uamuzi utaanza kutolewa sa nane ikiongozwa na jaji mkuu David Maraga na naibu jaji mkuu Philomena Mwilu huku wakitarajiwa kuelezea ni kwa nini waliidhinisha ushindi wa rais Uhuru Kenyatta. Majaji wengine ambao watakuwepo ni Jaji Jackton Ojwang, Smokin Wanjala, Njoki Ndung'u na Isaac Lenaola
| Supreme Court Judges |
Njonjo Mue na Khalef Khalifa walidai kuwa uchaguzi uliendashwa pasi na kufuata katiba na ilivyoagizwa na mahakama mnamo september 1. Mwanasiasa Harun Mwau naye alipeleka kesi mahakamani huku akidai kuwa tume ya IEBC iliendesha uchaguzi bila kufanya upya zoezi la uteuzi la majina ya wawaniaji urais kabla ya kuchapisha majina ya nane hao
No comments:
Post a Comment