Tuesday, 22 May 2018

Waziri wa usalama wa ndani Dkt Fred Matiang'i amewapa wafanyi biashara kutoka nchi za kigeni siku 60 kupata kibali halali cha kuendesha biashara la sivyo wafurushwe kutoka nchini.
Picha Ya Dkt Fred Matiang'i

Kwa mujibu wa rekodi za serikali vibali elfu 34,000 vimepeanwa kufikia sasa ilhali kuna zaidi ya wafanyibiashara laki moja nchini utoka nchi za kigeni .Aidha Dkt. Matiang'i aliongeza kwamba kukosa kwa wafanyibiashara hao vibali kunahujumu usalama wa taifa na kuinyima nchi kipato.

Shule Ya Msingi Ya Kapsaret Yafungwa


Mvua inayoendelea kunyesha nchini imekuwa karaha na si furaha tena kwa wakaazi maeneo mbalimbali nchini.
Nyingi za shule zimelazimika kufungwa sababu kuu zikitokana na mvua ambayo imesababisha vyoo shuleni kuzama,hali ambayo hairuhusu masomo kuendelea kama kawaida.

Idara ya afya hii leo imefunga shule ya msingi ya Kapsaret kwenye kaunti ya Uasin Gishu kwa muda usiojulikana baada ya kuzama kwa vyoo shuleni humo kufuatia mvua kubwa inayoendelea kunyesha eneo hilo.


Monday, 21 May 2018

50 Sustain Minor Injury After Bus Overturns


Forty eight students and two teachers of Turbo Girls High School were involved in an accident after their bus overturned on Sugoi-Kosichei road on Sunday. The students and teachers were rushed to Moi Teaching and Referral Hospital (MTRH) Eldoret. The students were on their way back to school after attending a career talk at Kosachei Secondary school.
50 People Sustain Minor Injuries After Turbo Girls Bus Overturn

Speaking yesterday at MTRH, Chief Executive Wilson Aruasa said that most of them had sustained minor injuries and their lives were out of danger. He added that they had been counseled since some of them were shocked by the incident.

On other hand Mohammed Mwabudzo, Turbo Deputy County Commissioner said that the accident was as a result of heavy rains that are being experienced in various parts of the country.

WHAT DOES IT TAKE TO BE A LANDLORD IN TOWN?

 By Sifuma N. Lilian In light of the recent demolitions that are happening in the capital, it is always good to ensure that you’re follo...